FAHAMU ASILI YA MBEGA


Mbega/mbegha  ni kima wa nusu familia ya Colobinae katika familia ya  Cercopithecidae

Asili yao Wanatokea Afrika na Asia. 

Jamii nyingi huishi mitini lakini jamii  nyingine huishi savana zenye miti na hata mijini.
 
Vidole gumba vya Mbega wenye asili za Afrika vimekuwa vigutu pengine ili kurahisisha kwenda katika miti. 

Mbega hula majani, maua na matunda wakati mwingine hula wadudu na wanyama wadogo.



Post a Comment

0 Comments