Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa kipindi cha wiki mbili kuanzia tarehe 03/09/2021 hadi 17/09/2021 limefanya Operesheni katika Wilaya zake zote tano (5). 

Kamanda wa polisi mkoa Pwani ACP Wankyo Nyigesa amesema Madhumuni ya Operesheni hizi ni kuzuia, kudhibiti na kutanzua uhalifu wa Jinai na makosa ya usalama barabarani.

 Operesheni hii imeleta mafanikio ambapo jumla ya watuhumiwa 38 wamekamatwa kwa makosa mbalimbali na mali za wananchi zimeokolewa ni pamoja na.

Bunduki 1 aina ya Short gun yenye namba GP 719 na Risasi 1

Bhangi kwenye begi 1 dogo, Puli 39, kete 661 na miche 24

Radio 2 aina ya Sony na sabufa 1

Spika 6, Kati ya hizo aina ya boss 02 na aina ya Sony 4 

Pikipiki 1 aina ya Boxer yenye namba za usajili  MC 226 CMT rangi nyeusi

Televisheni  5 aina ya Good vision 1, Sony 1, Samsung 1, LG 1 na TCL 1

Laptop 1 aina ya Dell

Desktop 1 aina ya Dell na CPU 2

Gari aina ya Canter 1

Matairi  02 ya gari 

Camera 2 aina ya Samsung 1 na  L

 Camera Monitor 1

Mkasi wa kukatia chuma (flatbar ) na funguo (master) key

Pombe ya Moshi lita 65