HATUVAI JEZI ZENYE LOGO YA MDHAMINI

"Kama wanadhani kupiga faini ndo kutukomoa badala ya kujenga wanabomoa sisi tuko tayari kupigwa faini hatutovaa jezi yenye Logo ya mdhamini mpaka tutakapofikia makubaliano".

Afisa Habari wa Yanga Hassan Bumbuli.


Post a Comment

0 Comments