NANI MBABE KATI YA DODOMA JIIJI NA SIMBA SC

 

Ligi kuu Tanzania Bara inaendelea hii leo kwa michezo miwili ambapo Dodoma jiji Fc watakuwa wenyeji wa mabingwa watetezi Simba sc kunako dimba la Jamuhuri -Dodoma huku Biashara united wakiaalika Ruvu shooting kunako dimba la Karume pale Musoma -Mara.

Michezo yote hii itachezwa majira ya saa 10 jioni.

Post a Comment

0 Comments