Jeshi la polisi jijini Dar es salaam limethibisha kuwa askari wawili wameuawa kwa kupigwa risasi na mtu ambaye hajafahamika jina aliyekuwa akirusha risasi ovyo karibu na Ubalozi wa Ufaransa
Katika tukio hilo pia mtu ambaye hajajulikana jina lake ni mmoja kati ya waliouawa huku wengine sita wakijeruhiwa .
Tukio hilo limetokea leo jijini humo huku aliyetekeleza tukio hilo nae akiuawa na polisi wakati wa majibizano ya risasi.
0 Comments