MANARA :SIJAWAHI KUWA SIMBA


Haji Manara ambaye ni Msemaji wa klabu ya yanga  ameweka wazi kwamba hajawahi kuwa simba kama watu wengi wanavyodhani.

Manara amesema hajawahi kuwa simba akiwa mzima labda akiwa amelewa na kuongeza kuwa yupo tayari kwenda jela kutokana na uongo alioongea juu ya Yanga.

"Moja ya kazi kubwa niliyoifanya ni kuonyesha ukubwa feki hiyo ni dhambi niliitendea vibaya sana jamuhuri ya muungano wa tanzania na nipo tayari kuhukumiwa hata gerezani kwa kufanya ulaghai wa kufix ukubwa ambao haupo".

Post a Comment

0 Comments