HUKUMU YA SABAYA OKTOBA 15

 

Hukumu ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake  iliyokuwa itolewe leo imeahirishwa hadi 15/10/2021.

Post a Comment

0 Comments