Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake iliyokuwa imepangwa kutolewa uamuzi wa shauri dogo 'trial within a trial' oktoba 19 imesogezwa mbele hadi oktoba 20 ,2021 kutokana na tarehe hiyo oktoba 19 kuwa ni siku ya sikukuu ya Maulid.
0 Comments