AJALI YAUA MWANDISHI WA HABARI

 

Mwandishi wa habari wa ITV /RadioOne  mkoa wa Songwe Gabriel Kandonga amefariki dunia leo alfajiri  septemba 24,2021 kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Karasha karibu na shule ya msingi Mlowo Mbozi wakati wakielekea Mkwajuni.


Post a Comment

0 Comments