Mchezaji Lionel Messi, 34,raia wa Argentina anatarajia kupata kiasi cha Euro £25.6m katika misimu miwili ijayo akiwa na klabu ya Paris St-Germain (PSG).
Messi mshahara wake unatarajiwa kuongezeka zaidi mpaka kufikia Euro £8.5m katika kipindi cha miaka mitatu.

0 Comments