NBC MDHAMINI MKUU LIGI KUU BARA


Benki ya NBC na Shirikisho la soka Tanzania (TFF) zimeingia mkataba wa miaka mitatu wa udhamini wa ligi kuu Tanzania Bara na kwa msimu huu wa 2021/2022 benki hiyo itawekeza shilingi bilioni 2.5 kabla ya VAT.

Post a Comment

0 Comments